Sukuma – NG´WANA NA NDEGE

 

Collected by: Don Sybertz,       Edited by: Fr. Zakaria Kashinje OSA

With special thanks to Rev Joe Healey (African proverbs,Sayings and stories)

Lushiku lumo ng´wana oyelaga na bhabha okwe. Huna ung´wana ng´wenuyo ubhona ginhu ijo jililala ng´wigulwa. Umuja ubhabha okwe, “Bhabha, iginhu ijo jililala ung´wigulwa ni ki?”

Ubhabha okwe, unshokeja, “Ng´wanone, iginhu ijo jilitanwa, ndege (Aeroplen). Bhaliho bhanhu umugati yayo, bhingi du.” Ung´wana ubhuja, “Abhanhu bhenabho umugati yayo bhagadula ginehe ugushiga ukunuko kwigulwa?”

Ubhabha ogo ushosha, “Ng´wanone, abhanhu bhenabho bhadashikile ukunuko kwigulwa, ili giki, indege, igika hasi gubhasola na gubhachala kwigulwa. Mtoto Na Aeropleni
Siku moja mtoto alikuwa anatembea na Baba yake, mara yule mtoto akaona chombo kinachoruka juu angani. Akamwuliza Baba yake, “Baba, kile chombo kinachoruka juu angani ni nini?”

Baba yake akamjibu, “Mwanangu, kile chombo kinaitwa ndege (Aeroplen) kuna watu ndani yake, ni wengi tu.” Mtoto akauliza, “Je, hawa watu ndani yake waliwezaje kufika huko juu?”

Baba yake akajibu, “Mwanangu watu hawa hawakufika kule juu, bali ndege (Aeroplen) ilishuka chini kuwachukua na kuwapeleka juu.”

This entry was posted in Sukuma and tagged , , , , , . Bookmark the permalink.

Comments are closed.